Google PlusRSS FeedEmail

Kanye West Writes Song For Taylor Swift As An Apology


Rapper Kanye West amedhaminiria kutunga kibao kimoja kwa ajili ya kuomba msamaa mwanadada  Taylor Swift kwa kumtungia wimbo  mwanadada huyo ambaye aliminterrup wakati akitoa speech kwenye Tunzo za Mtv VMAs.,za mwaka jana 
Nimeandika wimbo kwa ajili ya Taylor Swift nimemsifia kwa urembo wake na jinsi alivyo mzuri,na kuna mashairi yanayosema kwamba kupitia wimbo huu naomba unisamee na waliokutenda pia,hakuna binadaamu aliyekamilika,ili ubinaadam ukamilike lazima kifo kije..aliongeza West kupitia ukurasa wake katika mtandao wa twitter
aliongeza kwa kusema Najua Tylor anapenda rap music,country music pia hakika atapokea ombi langu kwa alama chanya..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging