Google PlusRSS FeedEmail

JE BEYONCE AMEMUAJIRI MUMEWE JAY Z KUWA MENEJA WAKE..?

Hv karibuni kulikuwa na minongono ya kana kwamba mwanadada na pia mwanamuziki Beyonce alikuwa na kutoelewana kati yake na baba yake,
kutoelewana huko kwa mwanamuziki huyo na baba yake Mathew Knowles kulimpelekea mwanadada huyo kumkabizi mikoba ya umeneja mumewe Rappar Jay Z,


Wakati hayo yanaendelea kampuni ya kusimamia kazi za wanamuziki Music World Entertainment  imeweka wazi kuwa wawili hao bado wako katika mahusiano mazuri ya kibiashara na Mathew Knowles ndiye meneja pekeee wa Beyonce na si kama baadhi ya vyombo vya habari vilivyoripoti uvumi huu..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging