Google PlusRSS FeedEmail

BEBE COOL APIGA DENDA NA ZUWENA WAKE LIVE STEJINI

Artist ambaye alitangaza wazi kuwa asingempigia kura wala kumpa support baba yake mzazi,Mzee Bidandi Ssali ambaye alikua mmoja wa wagombea Urais kwenye uchaguzi 2011 uliopita,Moses Ssali Almaharufu Bebe Cool mbele ya washabiki wake  waliokua wamejazana  katika kitongoji kijulikanacho kama Kololo kwenye kampeni za mwisho za Urais uliofanyika 18 Feb 2011 waliachwa hoi baada ya Bebe Cool kumvuta na kumla-denda mke wake  Zuena Kirema kwenye steji ,alisikika akisema Zuwena  ''she was the most beautiful woman on the planet''

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging