Google PlusRSS FeedEmail

JAFARAY AACHIA NGOMA MPYA ITAKAYOKUWA KATIKA ALBAMU YA WALI NAZI

Artist toka Wateule Jafary Mshamu aka Jafaray amedondosha Track yake mpya ya Sio Kweli feat Binti Machozi aka Lady JD,rasmi kwenye radio mkwaju ambao kideo chake kiko kitaa kitambo. Humo ndani Lamar amehusika mazima na utengenezaji  wa Beat katika studio za ,FishCrab na video ya wimbo huo umefanya   Adam Juma toka Visual Lab na ngoma imesimama ile mbaya, Mwezi May 2010 anaifungua single nyingine ambayo pia itapatikana kwenye album yake ya 3 ya Wali Nazi!

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging