Mtoto wa wanamuziki maarufu toka Marekani,Whitney Houston na Bobby Brown waliokua watumiaji wazuri wa madawa ya kulevya,Bobbi Kristina (miaka 18) amefuata nyayo za wazazi wake hao,coz alikutwa na kupigwa picha akitumia cocaine. Kabla ya hapo Bobbi Kristina aliwahi kutolewa kwenye mtandao,akiwa na miaka 14 tu akivuta bangi na kunywa pombe na washkaji zake.Na wengi hawajashangaa matumizi ya mtoto huyo wa madawa ya kulevya coz alikulia na kushuhudia maisha hayo na itakua ngumu kumkemea aache kwa hatua aliyofikia kwa sasa. Boyfriend wake wa zamani alitoa ushuhuda kwa kusema kuwa,kuna wakati alikua anagombana nae ili aache kutumia madawa ya kulevya lakini ikashindikana coz ilikua too much na ikabidi waachane!
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.







