Bendi ya Bushoke iitwayo,Bongo Tunes iko tayari ila haijazinduliwa rasmi na kwa sasa wanapiga showz za hapa na pale ili kusukuma siku. Kuna kipindi walikua wanafanya mazoezi pamoja na Imma Balisidya (mtoto wa mwanamuziki nguli wa TZ,toka Afro 70 Band....Patrick Balisidya ili waimbe nyimbo ambazo baba zao walikua wanaimba,kama Harusi,Tufurahi weekend,Kisa cha mesenja nk. Kwa sasa bendi ya Bongo Tunes inapiga kwenye sherehe mbali mbali na still wako kambini kujiandaa kuibuka rasmi!
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








