Google PlusRSS FeedEmail

FABOLOUS NA NE-YO KUTOA COLLABORATION ALBUM

Mwanamuziku na Mkali wa R & B,Shaffer Chimere Smith JR. aka Ne-Yo ametangaza kuwa yeye na New York Rapper John David Jackson wataungana kufanya new album ya pamoja.Ila kwa kwa sasa haijatangazwa kuwa project hiyo itafanywa lini,lakini Ne-Yo amesema mambo yanakwenda poa ili wakamilishe project hiyo ila Faboulous na Ne-Yo mwaka 2007 walitoa hit kali iliyoitwa Make me better iliyopata aitime ya kutosha.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging