Google PlusRSS FeedEmail

G UNIT WAJIPANGA KUINGIA UK

50 Cent anajipanga  kufungua tawi la G-Unit Records & Entertainment nchini Uingereza. 50 Cent atafungua ofisi hiyo  kwa kushirikiana na kampuni iitwayo PIAS Group.Na ofisi hiyo itakua chini ya DJ Dan Greenpeace, ambaye ni maarufu sana nchini humo. PIAS ni moja ya music labels kubwa sana barani ulaya,ambayo ilianza mwaka 1982 chini ya Kenny Gates na Michel Lambot.So G-Unit watafaidika sana kwanza kujitangaza barani ulaya,  

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging