Google PlusRSS FeedEmail

KHADIJA SHAAABAN -K-SHER APATA MTOTO

Msanii wa kike toka TZ,Khadija Shaaban aka K-Sher ameolewa kwa siri....amejifungua mtoto wa kiume mwenye umri wiki kadhaa sasa tangu alione jua la bongo.
K-Sher aka Mama Jam Key alifunguka “Kwanza namshukuru Mungu kwa kujifungua salama na kuweza kubeba dhamana ya kuitwa mama,hii itanifanya nizidi kujituma katika maisha yangu ili mwanangu aweze kuishi maisha mazuri hapo baadaye”
Mara ya mwisho K-Sher aling'ara kwenye wimbo wa Bado Tunapanda akiwa Kundi la Tip Top Connection toka pande za Manzese-DSM,ila alisema pamoja kuitwa mama,bado ataendelea na kazi yake ya sanaa na japo alipotea kitambo na hakusikika kwa muda mrefu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging