Google PlusRSS FeedEmail

MARTINS OKEY JUSTCE AZUNGUMZIA MAISHA YAKE

Martins Okey Justice aka J Martins amefunguka na kuhusiana na maisha yake na ya kimuziki kwa ujumla.
J Martins anasema kuwa kitu kibubwa ambacho hatoweza kukisahau kwenye maisha yake ya muziki ni jinsi baba yake alivyotaka kumuua,kwa kua alikua ha-support mziki wake na kutaka kumuua kabisa kwa kumpiga risasi,coz alikua ni mwanajeshi mstaafu.
Kufuatia kitendo hicho J Martins alikua anamuona kama baba yake ni adui kwa kipindi hicho,ila kwa sasa ameona ukweli kuwa alikua anamlinda ili asipotoke na awe na maisha mazuri.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging