Trailer ya filamu ya 50 Cent aliyoicheza mwaka jana 2010 filamu hiyo iliyopewa jina Things Fall Apart imeshaanza kuoneka kitaani.
Huom ndani 50 Cent alipungua kilo 25 wakati anacheza filamu hiyo Things Fall Apart,ambayo 50 amecheza kama University of Michigan football player
50 Cent ameizungumzia filamu hiyo na kusema kuwa ni changamoto kwake na aliyempa moyo wa kucheza filamu hiyo ni rafiki yake aitwaye Charles Pringle,ambaye alikua mwanamuziki na muigizaji na alikufa kwa kuugua ugonjwa wa cancer (saratani)
Huom ndani 50 Cent alipungua kilo 25 wakati anacheza filamu hiyo Things Fall Apart,ambayo 50 amecheza kama University of Michigan football player
50 Cent ameizungumzia filamu hiyo na kusema kuwa ni changamoto kwake na aliyempa moyo wa kucheza filamu hiyo ni rafiki yake aitwaye Charles Pringle,ambaye alikua mwanamuziki na muigizaji na alikufa kwa kuugua ugonjwa wa cancer (saratani)








