Mwanamama Cindy Jina kamili Cinderella Sanyu toka Uganda,amelipatwa na maumivu ya tumbo na kukimbizwa Clinic pande za Kololo kwa uchunguzi zaidi.Chanzo habari kinasema kuwa mwanamama huyo maumivu aliyoyapata ni kutokana na ujauzito aliokuwa nao.. ila imesemekana kuwa muda mfupi baadae aliruhusiwa kwenda nyumbani na kuendelea na shughuli zake za kujenga taifa lake la Uganda, kwa sasa Mwanamama Cindy ana ujauzito wa miezi 5 ,Ujauzito ambao unasemekana ni nwa mpenzi wake wa muda mrefu ,ambaye inasadikika ana asili ya Italy ambaye anajulikana kama Mario Brunette wawili hao wana tarajiwa kupata mtoto wao huyo mwezi July 2011 na wanatarajiwa kufanya harusi ya siri baadaye mwaka huu
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








