Wyclef Jean amekimbizwa hospitali baada ya kupigwa risasi ya mkononi,Mapema Msemaji wa Wyclef Jean alisema kuwa tukio hilo lilitokea Port-Au-Prince,Mji Mkuu wa Haiti,na wakati tukio hilo linatokea mwanamuziki na mwanasiasa huyo alikuwa na mwanamuziki mwenziwe Busta Rhymes na Producer wake Jimmy Rosemond wakati wa usiku wa mkesha wa uchaguzi wa Rais (Jumamosi kuamkia Jumapili) na Wyclef alifunguka kwa kusema kuwa baada ya kushuka toka kwenye gari lake alisikia mlio wa risasi,na baadaye alishtukia tu damu ikichuruzika kwenye shati lake na kwenye viatu.na hajui ni nani aliyefyatua risasi hiyo wala kama yeye ndiye alikusudiwa au alipigwa kwa bahati mbaya.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








