Google PlusRSS FeedEmail

SHARO MILIONEA AMEZIKWA SHAMBANI KWAO



Kwa habari zilizotufikia hivi punde msanii Sharo Milionea ameshazikwa nyumbani kwao katika shamba lao, asilimia kubwa ya watu wamehudhuria katika mazishi hayo wakiwemo viongozi wa serikali

Nape Nauye kiongozi wa CCM naye amehudhuria mazishi hayo pamoja na wasanii wa bongo movi na waimbaji wa bongo fleva

Kwa mujibu wa dokta alieleza kuwa marehemu Sharo Milionea ameumia sana sehemu za kichwa hali iliyosababisha kupoteza maisha yake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging