Google PlusRSS FeedEmail

CIARA NA FUTURE WAJIRUSHA LOS ANGELES




Mwanamuziki Ciara na rapa Future walionekana wakiwa pamoja katika mji wa Los Angels wakitanua. Wawili hao walifurahia kula chakula cha mchana kwa pamoja.

 Kumekuwa na tetesi kuwa Ciara na Future ni wapenzi. Wanaweza kuwa marafiki wazuri kwa kushirikiana kimuziki, Tuanchoweza kufanya ni kujiuliza ni kitu gani mpenzi wa zamani wa Ciara, 50 Cent atasema kuhusu wawili hao kuonekana wakitanua pamoja.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging