Google PlusRSS FeedEmail

KUNDI LA DESTINY'S CHILD LIMEUNGANA TENA



Hatimaye kundi la Destiny's Child limeungana tena baada ya kupotea kwa miaka 8 iliyopita, huku wakiwa ameachia teyari single na kutangaza ujio wa albamu yao  mpya

Beyonce ambaye ametangaza ujio wa albamu yao ambayo inatarajiwa kuachiwa Januari 29, huku akiwa na fikra na maamuzi ya kufanya biashara kwa kuwaleta tena wasichana hao karibu Michelle Williams na Kelly Rowland pamoja na yeye

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging