Google PlusRSS FeedEmail

JUSTIN BIEBER ANAVUTA BANGI?




Kutokana na kusambazwa kwa picha kwenye mitandao zikimuonyesha Justin Bieber akivuta kitu kinachoaminika kuwa ni bangi akiwa na kikundi cha vijana wenzie

"Kila siku mtu anakuwa wa kujifunza, na najaribu kuwa kijana mwema kwa kuanguka na kuinuka tena, nimewasikia nyota wengi kamwe siataki kuwaangusha hata mmoja wao nawapenda" aliandika Bieber muda mfupibaada ya picha hizo kusambaa na watu walimiminika kutoa maoni yao kwa kumshambulia muimbaji huyo mtoto

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging