Google PlusRSS FeedEmail

MAMA NZAWISA ATUA AKUDO



Katika jitihada za kuimarisha safu katika bendi ya Akudo Impact imemchukua mnenguaji nyota ambaye ameshawahi kuitumikia bendi ya Msondo Ngoma Mama Nzawisa ili kuboresha safu ya wanenguaji

Meneja Uhusiano wa Bendi hiyo alitoa taarifa hiyo baada ya kuzungumzia mikakati ya bendi hiyo ya kuongeza wanenguaji watano

"Tumeanza na wawili ambao ni Mama Nzawisa na Elizabeth" alisema Pesambili

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging