Google PlusRSS FeedEmail

NAS HALI TETE



Mwisho wa wiki hii Nas alijikuta hali ya afya ikiwa tete baada ya kuugua ghafla kizunguzungu, kutapika hali hiyo iliyomsababisha kujikuta akiwekwa mapumziko, lakini hali hiyo sasa imeendelea kuimarika kwa kupata nafuu

Maisha ya Nas kwa wiki hii hayakuwa mazuri,  Nyota wa hip-hop alipata matibabu baada ya kuugua kwa 'Vertigo'.

Rapa mwenye umri wa miaka (39) ilibidi afute onyesho lake lililopangwa kufanyika siku siku ya ijumaa na Kelly  Michael lakini siku ya ijumaa ilitangazwa kwamba alikuwa hospitali

Kulingana na WebMD, Vertigo ni machafuko ambapo matokeo yake  kizunguzungu, huku mMadhara ni pamoja na kichefuchefu na kutapika.

Nyota huyo ambaye kwa sasa amesharuhusiwa hospitali huku hali yake ya kiafya ikiwa imeimarika "Amani kwa wote  Mimi ni mzima sasa na nilikuwa nipo mapumziko kwa ajili ya wachache ninaomba msamaha kwa kila mtu, nitaweka vizuri" aliandika Nas kwenye mtandao wa kijamii

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging