Google PlusRSS FeedEmail

TAFF YATOA ONYO KALI KWA WASANII




Kutokana na kujitokeza kwa utomvu wa nidhamu kwa baadhi ya wasanii wa filamu nchini Shirikisho la Filamu nchini Tanzania (TAFF) limekemea vikali kwa wasanii watakao onyesha utomvu wa nidhamu katika msiba wa Juma Kilowoko 'Sajuki', aliyefariki duniani juzi katika hospitali ya Taifa Muhimbili

Baadhi ya vitendo vya utomvu wa nidhamu ni pamoja na kunywa pombe karibu na maeneo ya msiba huo

Akizungumza nyumbani kwa marehemu Rais wa Shilikisho hilo Simon Mwakifwamba alisema ameshangazwa na kitendo cha baadhi ya wasanii kuacha msiba na kwenda kunywa pombe

Alisema kuwa yeyeto atakaye bainika kufanya vitendo vya utomvu wa nidhamu atachukuliwa hatua kali ikiwemo kumsimamisha kufanya kazi za sanaa

This entry was posted in

One Response so far.

  1. Anonymous says:

    kweli presidaa wajibisha kila mtu atakayekiuka

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging