LAMBERT AJIVUNIA NDOA YAKE
Muimbaji Miranda Lambert amesema kuwa anajivunia ndoa yake aliyofunga na mwanamuziki mwenzake Blake Shelton, mwanamuziki huyo mwenye kibao cha 'The Over You' aliweka bayana kuwa hawana wanachofichana katika ndoa yao
Lambert aliliambia jarida ka US Weekly pia kila mmoja ana,ruhusu mwenzake kupekua simu ya mwenzake na kila na kila mmoja anamfahamu mwenzake
Alisema kuwa kwa jinsi wanavyoishi hakuna anayemtilia shaka mwenzake na ndio maana kila mtu anamruhusu mwenzake kuingia kjatika mtandao wake wa kijamii