MADONNA KUTOINGIA RUSSIA?
Mwanamuziki mkongwe nchini Marekani Madonna huenda akapigwa 'stop' kuingia nchini Russia, hatua hiyo ambayo huenda ikachukuliwa baada ya muimbaji huyo mwaka jana kufanya maonyesho mawili katika mji wa Moscow na St Petersburg, lakini baadaye maofisa wa serikali wakasema kuwa hakuwa na kibali cha kufanya kazi nchini humo