Sandra Iwu amekanusha vikali kuwa alishatoka kimapenzi na gavana mmoja wa jimbo nchini Nigeria katika kipindi cha Januari na Machi mwaka huu
"Sina mpango wa kutoa penzi kwa mtu nje ya mpenzi wangu yanasemwa maneno mengi lakini ukweli naujua mwenyewe watu waache kusema mambo wasio yajua imani yangu ni kwamba ipo siku ukweli utajulikana kutoka kwa watu wote kama kweli nilishifanya jambo hilo nisingeweza kukataa " alisema mwanadada huyo
Kwa zaidi ya miezi mitatu sasa mwanadada huyo machachari ameelezwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mmoja wa wanasiasana gavana wa jimbo moja nchini humo ambapo hata hivyo hajatajwa hadi wakati huu