BEIBER ASHAMBULIWA DUBAI
Muimbaji mwenye umri mdogo ambaye amejizoelea umaarufu Justin Bieber mwishoni mwa wiki iliyopita ameshambuliwa na mashabiki wake akiwa jukwaani nchini Dubai
Mashabiki waliwazidi kunguvu wana usalamaa na kumvamia jukwaani wakati msanii huyo akiimba wimbo wake Belive
Beiber alifanikiwa kuondoka eneo hilo na kuwaacha wana usalama wakiendelea kudhibiti tukio hilo