BISI ATAMBA NA MTOTO WAKE
Mwigizaji Bisi Ibidapo Obe amesema kuwa mtoto wake amemwondolea machungu aliyokuwa akiyapata kila alipowaona wanawake wenzake na watoto wao
Alikuwa akisubili mtoto kwa muda mrefu kiasi kwamba alianza kukata tamaa lakini anashukuru alipata mtoto wa kike Destiny mwenye afya njema
Aidha msanii huyo alifafanua kuwa akiwa mama bora atahakikisha anampa elimu bora binti yake kwa kuwa hakuna urithi mzuri na usiochuja kama elimu