Google PlusRSS FeedEmail

JUMA NATURE, PROFESSA JAY KUUNGANA NA JAY DEE



MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Juma Kassimu 'Juma Nature' ameungana na msanii wa kike wa muziki wa kizazi kipya Judith Wambura 'Lady Jaydee' katika uzinduzi wa albamu yake ya sita iitwayo 'Nothing But The Truth' itakayozinduliwa Juni 31 mwaka huu.

Wasanii wengine ambao  wameungana na msanii huyo ni pamoja na msanii nguli wa muziki wa Hip Hop Professa Jay, TID  na Grace Matata .

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Gadner G. Habash ambaye ni  Meneja na Mume wa Mwanamuziki huyo alisema kuwa Juma Nature ni miongoni mwa wasanii ambao ameamua kuungana na Jidee kuwepo katika uzinduzi huo.

Alisema kuungana kwake kumeongeza nguvu katika uzinduzi huo ambao utakuwa ni wa aina yake.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging