Google PlusRSS FeedEmail

PROFILE : MOHAMEDI MWIKONGI (FRANK)



Jina kamili :  Mohamedi Mwikongi

Jina la Usanii : Frank ni  mmoja wa waigizaji wakongwe  ndani ya tasnia ya filamu nchini

Umezaliwa wapi ? Frank amezaliwa  jijini Dar es salaam mwaka 1979 katka hospitali ya ocean road.

Amepata elimu yake :  Alipoanza kukua alihamia Mkoani Iringa ambako alipata elimu ya awali katika  shule ya msingi Wiloseli kabla ya kuhamia shule ya msingi Mapambano jiji Dar es salaam ambako alimaliza elimu yake ya msingi.

Baada ya hapo alijiunga ma shule ya sekondari ya Highlands ilyopo wilayani iringa ambako alisoma na kuweza kuhitimu masomo yake ya O’level. Baadaye alijiunga na shuke ya sekondari Jitegemee kwa elimu ya kidato cha tano na sita na mwishowe kumaliza safari ya elimu katika Chuo cha kodi (ITA) cha TRA jijini Dar es salaam


Lini ulianza kuigiza ? Frank alianza Rasmi kuigiza mnamo mwaka 1999 chini ya kikundi cha Fukuto arts group kilichokuwa kikirusha maigizo yake kwenye kituo cha ITV kabla ya kujiunga na kikundi cha Kaole sanaa group ambako aliweza kupata umaarufu mkubwa na kujenga jina lake la frank kwenye igizo la Tufani.

Safari yake ya kuigiza ilikuaje ? : Aliweza kuigiza katika  kuigiza kwenye filamu mbalimbali na baadhi ya filamu zilizompa umaaarufu ni pamoja na Dangerous Desire, Sikitiko langu, behind the scenes na nyingine nyingi

Akiwa katika mapumziko Mohamedi anapenda zaidi kufanya mazoezi na kumpumzika


Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging