KIM, KANYE WEST WATAKA WATOTO WASAIDIWE
Mastaa wanaotarajia mtoto wao wa kwanza julai mwaka huu Kim Kardashian na Kanye West wamesema hawataki zawadi za mtoto badala yake watu wachangie katika hospitali ya watoto
Wapendanao hao wamewaomba wote wanaoandaa zawadi kwa ajili ya mtoto wao wasifanye hivyo na badala yake wajiandae kuchangia katika hospitali ambayo watawaelekeza hapo baadaye
Kanye alisema hospitali hiyo ina kitengo maalumu cha kuwasaidia watoto wenye matatizo hasa magonjwa hivyo wangependa badala ya kupewa zawadi michangango hiyo ielekezwe huko