RAY J - NYIMBO YANGU HAINA MAHUSIANO NA KANYE WEST
Mwiimbaji Ray J amejitetea baada ya kushtumiwa kuhusu wimbo wake mpya 'I hit it First' akidaiwa kuwa hilo ni dongo kwa rapa Kanye West .Ray J amesema wimbo huo aliutunga muda mrefu kabla hata Kanye na Kim hawajaweka wazi uhusiano wao
" Nilitunga nyimbo hiyo siku nyingi na nilipanga kuwa nitauachia kipindi hiki ni muingiliano tu wa matukio lakini sikumaanisha chochote nilipouachia" anasema Ray J