Google PlusRSS FeedEmail

REDD'S MISS IFM IKO JIKONI



Mashindano ya kumsaka Redd's Miss IFM 2013 yamefikia pazuri ambapo warembo 10 watapanda jukwaani Mei 25 mwaka huu kumsaka mrithi wa Fina Revocatus

Kinyang'anyiro hicho kinatarajia kufanyika katika hoteli ya JB Bellmonte maeneo ya posta mpya Dar es Salaam

Akizungumza na waandishi wa habari Mratibu wa Redd's Miss IFM, Daniel Sarungi alisema mshindi wa taji hilo ataondoka na kitita cha sh. milioni moja

Meneja wa Redd's Original ambao ndiyo wadhamini wakuu wa Redd's Miss Tanzania Victoria Kimaro alisema wanajivunia kuwa sehemu ya udhamini na wanaamini warembo hao watafanya vizuri na kutwaa taji la Miss Tanzania

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging