Google PlusRSS FeedEmail

CHARLZ BABA AMVISHA PETE YA UCHUMBA REHEMA



Rais wa bendi ya Mashujaa Charlz Baba amemvisha pete ya uchumba mchumba wake Rehema Sospet na kuweka wazi kuwa anampango wa kuvunga naye ndoa miezi michache ijayo

Tukio hilo lilifanyika wakati wa uzinduzi wa mauzo ya albamu ya bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa 'Wanakibega' uliofanyika jijini Dar es Salaam mwisho wa wiki

Bendi hiyo ilifanya uzinduzi wa mauzo yake ya albamu yake mpya ya Risasi kidole ambapo onyesho lake lilijaza mashabiki lukuki na kufurahia burudani iliyotolewa na wanamuziki wa bedni hiyo huku wakisindikizwa na FM Academia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging