Google PlusRSS FeedEmail

LADY JD & MH JANUARY MAKAMBA WATUPIANA MANENO KWENYE MTANDAO WA KIJAMII

                            

Msanii kizazi kipya  Lady JayDee , kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter amejibu kauli ya mheshimiwa January Makamba.

Mheshimiwa January alisiifu sana show iliyofanyika weekend iliyopita siku ya Jumamosi, P Square Live in Dar kwa kusema “Mashindano ya kuleta wasanii kutoka nje ni mazuri. Lakini mashindano bora zaidi ni ya ku-promote wasanii nchini nao washabikiwe nje ya Tanzania”.

maka

Kauli hiyo aliyotoa Mh. January Makamba, ilisababisha mwanadada Jay Dee kuandika kauli hii “Ushauri huo ungewapa kwanza washkaji zako wa fursa tangu zamani leo tungekuwa mbali. Kuutoa baada ya show ya jana inadhihirisha upande wako” katika akaunti yake ya twitter.
jlj

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging