Google PlusRSS FeedEmail

HIVI NDIVYO MSHINDI WA BONGO STAR SEARCH ALIVYOBEBA MILIONI 50


Mkurugenzi wa kampuni ya Bench Mark Production Madam Rita akimkabidhi sanduku lenye kitita cha shilingi milioni 50 mshindi wa shindano la Epiq Bongo Star Search 2013 Emmanuel Msuya (katikati). Shindano hilo lililofanyika Dar es Salaam Jana, kulia ni  Ofisa Mkuu wa Fedha  wa kampuni ya Zanteli Alli Bakari. 
Emmanuel Msuya akiwa amepiga magoti mara baada ya kutajwa kuwa mshindi wa shindano hilo ambapo aliweza kujinyakulia kitita cha fedha hizo, mshindi huyo akiwa ametokea mkoa wa Mwanza

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging