Google PlusRSS FeedEmail

MICHAEL DOUGLAS APIGANA NA KIFO

Mcheza sinema Michael Douglas yuko katika wakati mgumu maishani kutokana na matatizo mfulululizo yanayomkumba..
Douglas mwishoni mwa mwezi uliopita aligundulika na saratani ya koo ambayo imefikia hatua mbaya,na kumletea maumivu makali.
Mshindi huyo wa tunzo za Oscar Alisikika akisema napigana na maisha,Douglas mwenye umri wa miaka 65sasa ambaye yuko kayika tiba ya mionzi ili kujaribu kutibu saratani hiyo ambayo imesambaa hadi mwanzoni mwa ulimi wake..
Douglas a;iliambia gazeti la People kuwa yuko katika matibabu ya saratani ya koo tangu mwanzoni mwa mwezi August mwaka  huu..
Mbaya zaidi mtoto wa Douglas Cameron yupo kifungoni baada ya kukutwa na madawa ya kulevya.. 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging