Google PlusRSS FeedEmail

BAADA YA KUTUA HOME DSTV YAMPATIA MWISHO PVR ATAZAME CHANNEL ZA DSTV BUREEEE

MSHINDI namba nne wa mchuano wa Big Brother All Stars mwaka huu Mtanzania, Mwisho Mwampamba, leo amezawadiwa na kampuni ya Multi Choice mashine ya HD PVR itakayomwezesha kuangalia vipindi mbalimbali vya televisheni kupitia DSTV.Hafla hiyo ilifanyika mbele ya waandishi wa habari katika hoteli ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam.

Multi Choice Tanzania ndiyo ilikuwa mdhamini wa Mtanzania huyo na ndiyo waliomwezesha kushiriki kinyang’anyiro hicho.

Katika hafla hiyo iliyosimamiwa na Meneja Masoko wa Multi Choice, Furaha Sawalu na Afisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Barbra Kambogi, Mwampamba aliwaeleza machache waandishi wa habari kuhusu mchuano huo ulivyokuwa...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging