Google PlusRSS FeedEmail

THE BIRTH OF A MUSIC REVOLUTION IN AFRICA – ONE8

Hatimae wale wasanii 8 wakubwa kutoka kila upande mwa bara la Africa Wamefikia pazuri katika kazi iliyowapeleka huko Nchini Marekani,chini ya program  inayojulikana kama, AFRICA UNITE WITH ONE MAJOR GLOBAL MEGASTAR TO FORM ONE 8...Ambapo nchi yetu ya Tanzania imewakilishwa vyema na Ally Kibba...

Hizo chini ni baadhi ya picha za wasanii ambao wa wamepata bahati ya kuwa katika program hiyo mwaka huu..

Na picha hii chini inaonyesha wakati wako studio wakiwa wanarecord wimbo huo wa pamoja na sasa kazi iliyobakia ni maandalizi ya video ya imbo huo,lini utatoka endelea kufuatia kupitia katika site www.pro-24.net



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging