Baada ya kukosa kitina cha Dolla lakimi mbili za Kimarekani katika shindano Big brother Africa,Aliyekuwa mwakilishi kutoka nchini Zimbabwe anayejulikana kwa jina la MUNYARADZI CHIDZONGA Munya Amepata bahati ya kukabidhiwa kitita cha dolla Laki 3 za Kimarkani na Rais Robert Mugabe mara alipokutana nae katika Ikulu ya nchi hiyoNa sasa ameteuliwa kuwa balozi wa Diamond head wa Indian business delegation kutoka Surat Rough Diamonds Sourcing company,
Mr Ashit Mehta, alimkabidhi Munya pete ya diamond yenye thamani ya dola 20,000 kama heshima ya kuiwakilisha sekta hiyo