Wakati kila siku zinavyozidi kwenda,wadau wa burudani ndani na nje ya jiji la Dar es salaam wanazidi kupokea na kuukubali usiku wa pro 24,ndani Club Billicanas.
Leo tarehe 28 vijana Watanashati wanaojua nini wanafanya watakuwa ndani ya Club ya kimataifa Billicanas kukupa wewe mdau wa burudani Raha zaidi,,Pro 24 ni umoja wa vijana ambao wanasababisha Raha ndani club hiyo vijana wa ujuzi wa kipekee katika swala zima la kukuchesha wewe mdau wa burudani
Kama kawaida usiku wa leo wakina dada wao freeeee kwa raha zao ila wanachotakiwa kufanya ni kujipatia kuponi ya kinywaji mlangoni kwa bei rahisi ya shilingi elfu tano tu na wakina kaka wao watachangia buku tano tu mlangoni,na wala hutojutia kwa maana pro 24 watakufikisha katika kilele cha burudani usikose usiku wa leo, pale Club Billicanas..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.







