Google PlusRSS FeedEmail

KINA KIREFU NI ALBAMU YA MANSU-LI INAYOTARAJIWA KUINGIA SOKONI SOON

Msanii Mansu-Li kusema kwa sasa anachokifanya ni kukusanya nyimbo zake zote alizofanya studio tofauti tofauti na kuzipeleka kuzifanyia Mastering pale Tongwe Records,
Amesema kuna nyimbo nyingine kama tatu hivi ameshazirekodi kwahiyo zitajumuishwa na hizo atakazokuwa amezikusanya.
Mbali na kufanya Mastering ya album yake hiyo itakayotambulika kwa jina la Kina Kirefu, Mansu-li amesema kuwa hata album cover inatarajiwa kutengenezwa pale pale Tongwe Rec.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging