Katika ngoma hiyo Nicki amesikika katika moja ya mashairi yake yakisema "Word, that bitch mad 'cause I took the spot?/ Well, bitch, if you ain't sh**tin', then get off the pot/ Got some n****s out in Brooklyn that'll off your top."
Wakati hayo yakiendelea mwanamama huyo katika mahojiano ya hivi karibuni na Dj Khaled,alisema kuwa alikuwa kimya kwa mda na yeye ni mtu mzuri,na kila mtu anaweza kuzungumza kitu cochote juu yake ..ila amekuwa ni mtu wakupokea na kusikiliza na kuyachua ambayo anajua yanaweza kuyachukua ila kama hakuna huwa anatemana nayo.
Ila hivi majuzi Novemba 5 mwanamama Lil kim alikuwa katika club moja ya usiku huko queens alionekana akitoa mitindo huru ambayo ilikuwa ni dongo kwa mwanamama Nick..
Lil kim alionekana na kusikika akisema"First of all, I don't even need a record right now and I'd kill that bitch with my old sh**. My records ain't just enter the charts, they made history. What the f*** is this bullsh**, this sh** come and go!"mhh na kama vipi tazama video chini....








