Wakati Tanzania wakiwa wametoka tu katika uchaguzi Mkuu uliofanyika October 31,Hatimaye Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepita..kwa asilimia 61%ila katika kampeni yake hiyo ilitawaliwa na vituko na vimbwanga vya kila aina hasa pale Rais Kikwete alipoonekana akikolea katika baadhi ya ngoma kali ya yote alipokuwa akicheza kiduku...Kali nyingine ni hii ambayo Rais Yoweri Museven aja na single yake ambayo ni rap ila kwa lugha ya kiganda,kumbuka kwa sasa yuko katika maandalizi ya kampeni kwa ajili ya kutetea kiti chake,na hiyo ndio rap yake me nimependa kiitikio...
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.







