Google PlusRSS FeedEmail

KEYSHIA COLE FIRES HER MANAGER MANNY HALLEY

Mwanamama  Keyshia Cole a alitangaza rasmi kuwa amemtimua kazi aliyekuwa Manager wake wa mda mrefu  Manny Halley.na alisikika akisema  “Would like for u guys to know that Manny Halley is no longer my management”,ila waandishi wahabari waliokuwepo karibu walitaka kujua sababu gani iliyomsibu mpaka kimtimua manager huo hakutaka kutoa majibu...alibaki katika msimamo kwamba kuanzia sasa si manager wake tena ..Kumbuka mwanamama  Keyshia’ Album yake mwezi uliopita ilishika nafasi ya 9 katika chat za Billboard katika albamu bora 200 kwa mwezi uliopita.vile vile . single “I Ain’t Thru”with Nicki Minaj ilikuwa moja ya ngoma ambayo mpaka sasa imemuweka katika chat mbali mbali huko nchini Marekani...

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging