Wasanii waliopata bahati ya kupata tunzo ya Kilimanjaro Music Award mwaka jana 2010,kwa pamoja wamejikusanya na kuamua kuachia Albamu ya pamoja,kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari kinasema kuwa wasanii hao kwa pamoja watajichimbia katika Studio za Fishcrab kwa ajili ya kufanya kazi hiyo,chanzo hicho kiliongeza kuwa mbali na kufanya albamu hiyo ya pamoja wako katika maandalizi mengine kwa ajili ya kupokea tunzo zingine ambazo zinatarajiwa kutoka mwezi wa 4 mwaka huu..Baadhi ya wasanii ambao wako katika albamu hiyo ya pamoja ni Chid Benz,A,Y,Diamond,Joh Makini,na wengine wengi
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.









it is a good idea,
keep it up, the show was very fare........
regards,