Kuna uvumi ambao si mzuri unaoenezwa na baadhi ya watu kuwa mwanamuziki wa Miondoko ya pwani nikiwa na maanisha muziki wa mwambao ama Taarabu,amefariki dunia,Uvumi huo si wa kweli kabisa kwa maana yuko hai ila ni mgonjwa na amelazwa katika hospitali moja huko kibaha mkoani pwani,kwa mujibu wa Hidaya Mashaura ambaye alifanya nae mahojiano kupitia katika kituo cha Uhuru Fm,Mzee alisikika akisema "nashangaa uvumi huu unazidi kuenea mimi ni mzima ila nasumbuliwa na miguu,na ukimsikia mtu anaendelea kueneza uvumi huo tafadhali muombe mchango wa rambi rambi,sijafa naendela vyema na sasa nimerudi nyumbani,kuendelea na matibabu..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








