New York rap star Nasir bin Olu Dara Jones - Nas ametangaza ujio wake wa new upcoming solo album Nas alitupia kwenye Twitter account yake na kulifungua jina la album hiyo mpya itakayoitwa Life is Good,ambayo utengenezwaji wake utahusisha producers mbalimbali,bila kumsahau Producer maarufu Salaam Remi producers wengine maarufu Studio album ya 9 na ya mwisho kutolewa na Nas ilitoka July 15,2008 iliyoitwa Nigger lakini kutokana na utata juu ya jina hilo aliamua kuiita album yake hiyo,Untitled ambayo ilishika chati za Billboard's Top 200 Albums chart
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.