Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea vizuri kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wakati akiendesha pikipiki za kwenye maji aka jetski na kugonga daraja linalounganisha Palm Island na MacAuthor Causeway na kwa sasa ametoka chumba cha wagonjwa mahututi aka ICU Wote Sean Kingston na abiria mwanamke aliyekua naye wanaendelea vizuri na Polisi wanaendelea na uchunguzi wa ajali hiyo na kama itahusishwa na unyaji wa pombe uliosababisha uzembe wa ajali hiyo,basi Sena Kingston atakua matatani...!
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.