Paul na Peter Okoye tangu walipoanza muziki mwaka 2001,wameshaachia album 4 zenye mafanikio,kuanzia Last Night (2003),Get Squared (2005), Game Over (2007) na Danger,kwa mujibu wa P-Square kwa sasa wako kwenye mishemishe za kutayarisha album yao mpya ya 5
Na katika maandalizi ya album concert,P Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever ambazo zitakua kitaani soon kwa fans wao
Na katika maandalizi ya album concert,P Square wamewachukua dancers 12 (6 wa kiume na 6 wa kike) walipofanya mchakato wa kuwatafuta dancers watakaoshirikiana nao kwenye maandalizi ya album yao ya 5 na kwa sasa wako kwenye mazoezi kwa muda wa miezi 3 sasa na album yao inatarajiwa kuwa na kati ya track 10 na 13,zikiwemo za Bunieya na Forever ambazo zitakua kitaani soon kwa fans wao