Sean Kingston yuko mahututi baada ya kupata ajali huko Miami Beach,alipokua anaendesha pikipiki za kwenye maji Jet Ski
Sean Kingston alijeruhiwa baada ya kugonga daraja linaloiunganisha Palm Island na MacArthur Causeway na alikimbizwa kwenye Jackson Memorial Hospital,kwa matibabu akiwa pamoja na mwanamke aliyekua naye wakati akiendesha pikipiki hiyo
Wasanii na fans wake wengi wamekua wakimtumia salamu za pole na kumuombea apate nafuu haraka kwenye mtandao wa Twitter
Sean Kingston alizaliwa February 3,1990 Huko Miami-Florida kabla ya kuhamia Kingston, Jamaica akiwa na miaka 6 na aliachia single ya Beautiful Girls May 2007,iliyoshika namba 1 kwenye US Billboard
Sean Kingston alijeruhiwa baada ya kugonga daraja linaloiunganisha Palm Island na MacArthur Causeway na alikimbizwa kwenye Jackson Memorial Hospital,kwa matibabu akiwa pamoja na mwanamke aliyekua naye wakati akiendesha pikipiki hiyo
Wasanii na fans wake wengi wamekua wakimtumia salamu za pole na kumuombea apate nafuu haraka kwenye mtandao wa Twitter
Sean Kingston alizaliwa February 3,1990 Huko Miami-Florida kabla ya kuhamia Kingston, Jamaica akiwa na miaka 6 na aliachia single ya Beautiful Girls May 2007,iliyoshika namba 1 kwenye US Billboard