Msanii anayejulikana kwa jina la AT kwa hivi sasa yupo mbioni kumalizia album yake ya mduara inayokwenda kwa jina la ASILI HAIPOTEI. AT amesema kwa hivi sasa anatarajia kutoa wimbo mwingine unaoitwa VIFUU TUNDU ambao umetengenezwa studio ya KIRI REC iliyopo Kinondoni chini ya Producer C9. Anaomba mashabiki wake wawe na moyo wa subira kwani mambo mazuri hayanaga papara.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








