Google PlusRSS FeedEmail

USIKOSE USIKU WA UTAMU NITE NA PRO 24 DJS NDANI YA CLUB MASAI KINONDONI

Wakati Pro-24 Djs wakiwa wanajiandaa na ule usiku mkubwa,unaosubiriwa kwa hamu na wadau mbali mbali wa muziki ambao kila kukicha joto la usiku huo linazidi kupanda,Maana nitaani story ni moja tu Usiku wa 103 Degrees utakuwa usiku wenye joto la aina yake usikose maana ukikosa utakuwa umekosa bonge la burudani kutoka kwa pro 24 djs,chini ya Djs wake wenye viwango vya kimataifa  nao niDj Joe,Dj Chill,Dj Tass,Dj Kevy,Dj Arnold,Dj Mass,Dj John,Dj Victor,na Dj Tix...wakati ukiwa unasubiri joto hilo Pro 24 djs wanapenda kukukaribisha wewe mdau kwenye usiku wa Utamu Nite ndani Club Masai kinondoni maana pale nako kutakuwa na burudani ya aina yake kuanzia saa tatu usiku wa leo jumatano usikose ..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging